Friday, July 10, 2015

YANGA YAZIDI KUJIIMARISHA NA KAGAME

1 Mshambuliaji mpya wa Yanga kutoka timu ya Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma, akionesha umahiri wake wa kuchezea mpira kwenye mazoezi hayo.
KIKOSI cha Yanga leo kimeendelea kujiimarisha kwa ajili ya michuano ya Kombe la Kagame ambayo inatarajiwa kutimua vumbi jijini Dar es Salaam hivi karibuni....
HABARI NA PICHA ZAIDI===>http://bit.ly/1LW0xeT