Saturday, June 21, 2014

VODACOM TANZANIA




























" Amka 

 

Vodacom Miss Tanzania 2010, Genevieve Emmanuel Mpangala akipokea mfano wa 'cheque' yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania, Ephraim Mafuru katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika jana jioni kwenye hoteli ya Giraffe Ocean View Kunduchi.
Baadhi ya warembo wa Vodacom Miss Tanzania wakiingia kwa madaha kwenye kambi yao katika hoteli ya Giraffe iliyoko Jijini Dar es Salaam, warembo hao wameanza kambi yao Jana kujiandaa kwa fainali ya Vodacom Miss Tanzania katikati ya mwezi ujao.

Mrembo Beatrice Urassa (20) anayeiwakilisha…






 …