Sunday, June 22, 2014

TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO


Mwongozaji na msanii wa filamu anayemiliki Studio ya Five Effect, William J. Mtitu akipokea tuzo kwa niaba ya Issa Mussa 'Cloud'.
FILAMU ya msanii Issa Mussa 'Cloud' iitwayo Shahada na ile ya wasanii King Majuto, Jacob Steven 'JB' na Shamsa Ford 'Shikamoo Mzee' zimejishinda tuzo jana katika Tamasha la ZIFF linaloendelea Ngome Kongwe Visiwani Zanzibar!