Sunday, June 22, 2014

WATANZANIA TUNAWEZA!


Penye nia pana njia, fikiri, panga mikakati na utafaikiwa. Mzee Mengi hakuzaliwa katika familia tajiri. Alizaliwa katika familia ya mtoto kutembea pekupeku, hata kuvaa ndala ni anasa, lakini leo hii ni Bilionea. BIG UP Mzee, unaonesha njia...!