Friday, December 26, 2014

SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akipozi katika picha na mashabiki baada ya shoo ya nguvu Dar Live.
Diamond akiwa na tuzo pamoja na cheti baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest
Bachelor.
Diamond Platnumz akifanya makamuzi ya hatari Dar Live.
Diamond akifanya yake stejini.
Diamond akicheza na dansa wake.