Friday, December 19, 2014

MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR


Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii.
Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.
Maziko
yakiendelea.
Waombolezaji wakiweka udongo katika kaburi la Aisha Madinda.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Aisha Madinda kuelekea makaburini.
Waombolezaji wakiwa makaburini.
HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Twanga Pepeta, Aisha Madinda umezikwa jioni hii katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar wamejitokeza na kuhudhuria maziko ya msanii huyo aliyefariki dunia juzi.
Mungu ailaze roho ya marehemu AISHA MADINDA mahali pema peponi. AMEN.